Kiswahili?

Ian Isaro

New Member
Super Member
Registered
Joined
Feb 13, 2011
Messages
433
Reaction score
30
Location
Tanzania
Kuna watu ambao wanajua Kiswahili hapa? Ninadhani hapana, lakini labda, kwa sababu Kenya ina watu ambao wanatumia intaneti zaidi kuliko mataifa ya Afrika. Hakuna shida, ni swali tu, na ninatumaini kuandika/kuzungumza Kiingereza tu.
 

Sandema

Registered
Joined
Jan 17, 2011
Messages
13
Reaction score
1
Location
Princeton NJ
Mimi ni Mkenya Mjaluo. Najua kile tunaita street Swahili ambao Watanzania wana shida nayo. Najua hata hapa nime fanaya kosa kadhaa. It is good to see you here. Niko Marekani naandika kitabu ( what do you call a novel in Swahili-Swahili is made so hard we give up before we start). Are you writing a Swahili novel?
 

Ian Isaro

New Member
Super Member
Registered
Joined
Feb 13, 2011
Messages
433
Reaction score
30
Location
Tanzania
Nimetembelea Kenya mara chache. Kiswahili cha Kenya ni tofauti ndogo, lakini hakuna shida. Ninafurahi kukuona.

Sandema said:
what do you call a novel in Swahili-Swahili is made so hard we give up before we start
Ni "riwaya" lakini hata katika Tanzania watu wengi hawajui neno hili, kwa hiyo "kitabu" ni nzuri.

Sandema said:
Are you writing a Swahili novel?
My education was in English, so that is what I am used to writing. It seems like not many people are interested in reading novels here, so I am looking at North American markets.
 

Cece N

Half-way there, but need more time.
Registered
Joined
Aug 23, 2011
Messages
49
Reaction score
3
Location
City of Music, Vienna
Mimi ni mkenya mkamba. Street swahili eh? sheng? Mimi pia ni hiyo hiyo tu. I'm in Vienna, write in english 'cause german grammar is hard, and my clean swahili wont do. Sandema... I think a novel is called noveli hahah.. not seriously I need kamusi.
 

Ian Isaro

New Member
Super Member
Registered
Joined
Feb 13, 2011
Messages
433
Reaction score
30
Location
Tanzania
Nachelewa sana... internet hapa sio nzuri, pia nilisahau thread hii.

Karibu AWWC. I only know a few words of German (Spanish is the closest I have to another language, and it's pretty rusty).