Kuna watu ambao wanajua Kiswahili hapa? Ninadhani hapana, lakini labda, kwa sababu Kenya ina watu ambao wanatumia intaneti zaidi kuliko mataifa ya Afrika. Hakuna shida, ni swali tu, na ninatumaini kuandika/kuzungumza Kiingereza tu.
Ni "riwaya" lakini hata katika Tanzania watu wengi hawajui neno hili, kwa hiyo "kitabu" ni nzuri.Sandema said:what do you call a novel in Swahili-Swahili is made so hard we give up before we start
My education was in English, so that is what I am used to writing. It seems like not many people are interested in reading novels here, so I am looking at North American markets.Sandema said:Are you writing a Swahili novel?